Wanafunzi na wananchi wakipata maelezo kwenye banda la Chuo cha Ufundi Arusha(ATC)juu ya matumizi ya nishati ya Nguvu jua. |
Wanafunzi na wananchi wakipata maelezo kutoka kwa Mkufunzi wa Mitambo,Frank Moshi kwenye banda la Chuo cha Ufundi Arusha(ATC)juu ya matumizi ya nishati ya Nguvu jua . |
ATC pia hutoa mafunzo ya kuongeza thamani madini hapa nchini badala ya kusafirishwa yakiwa ghafi kwa kuchakata katika mwonekano unaongeza thamani na kuongeza ajira kwa vijana. |
Wanafunzi wa shule za Sekondari wakijifunza mambo mbalimbali katika maonesho hayo. Imeandaliwa na www.rweyemamuinfo.blogspot.com |
No comments:
Post a Comment