EDWARD LOWASSA NDANI YA CHADEMA .ATABIRI MAKUBWA
Mshimiwa Lowassa na Mkewe Regina Lowassa rasmi
wamekabidhiwa kadi za CHADEMA kuudhihirisha umma kwamba yeye sio kada wa
CCM tena.
Mheshimiwa Lowassa na mkewe Regina na viongozi
wanaounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA kabla ya kuingia kwenye
mkutano na waandishi wa habari na kueleza msimamo wake kisiasa.
Mheshimiwa Lowassa akiwa na viongozi wenzake wa
UKAWA siku akihutubia wananchi na kutangaza rasmi kwamba amehamia chama
cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuwaomba wananchi wamuunge
mkono.
Mheshiwa Lowassa akihutubia wananchi na kutangaza
rasmi kwamba amehamia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na
kuwaomba wananchi wamuunge mkono.
No comments:
Post a Comment