Pages

April 28, 2015

LUCY OWENYA CUP YAZINDULIWA JIMBO LA MOSHI VIJIJINI.

Mbunge wa viti Maalumu mkoa wa Kilimanjaro,Lucy Owenya akiwasili katika uwanja wa michezo wa shule ya Sekondari Singhiti kwa ajili ya ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup 2015 yanayofanyika katika jimbo la Moshi vijijini na kushirikisha kata 16 za jimbo hilo.

Baadhi ya wananchi waliohudhulia ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup 2015.
Mbunge Owenya akicheza ngoma katika sherehe za ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup.
Baadhi ya timu zinazoshiriki mashindano hayo zikiwa katika uwanja wa shule ya sekondari Singhiti kwa ajili ya ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup 2015.
Mratibu wa mashindano hayo,Charles Mchau akizungumza jambo katika ufunguzi wa mashindano hayo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...