Kamanda
wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, akiwaonesha waandishi wa
habari (hawaonekani pichani) milipuko hatari aina ya ' Water explosives
gel ' iliyokamatwa jana usiku kutoka kwa watuhumiwa tisa waliokuwa
wamehifadhiwa ndani ya msikiti wa Suni uliopo Tarafa ya Kidatu,
wilayani Kilombero mkoani Morogoro.CHANZO http://lukwangule.blogspot.com.
Post a Comment