Pages

April 28, 2015

CHUPA ZA BIA ZAIDI YA MAMILIONI ZINATEGEMEWA KUUZWA USIKU WA PAMBANO

27F5B34500000578-3057193-image-a-52_1430126146849
Malori ya kutosha yameshafikisha mamilioni ya bia maarufu kama Budweiser, Miller Lite, Corona na Tecate kwenye hotel ya MGM Grand ambapo pambabo la Floyd Mayweather vs Manny Pacquiao usiku wa May 2 huko LasVegas.
1
Mikanda ya Floyd Mayweather na Manny ipo kwenye mapokezi ya hotel ya MGM Grand
Hizo brand tofauti za bia zimelipa zaidi ya $5milioni ili kuwa moja kati ya wadhamini wa pambano hilo. Baadhi ya watu waliowai vyumba vya kawaida wamepata kwa bei ya $1600 kwa usiku wa Ijumaa na Jumamosi.
Uongozi wa hotel umesema kwa historia ya mapambano yaliyopita na ukifananisha na hili wanategemea watu zaidi ya 50,000 kufika usiku huo. Pia kuna wafanyakazi wapya 14,000 wameongezeka maalum kwa ajili ya usiku huu.
Pambano hili litahusisha wasanii wengi sana wa hiphop ambao wataenda ku-support  Mayweather na wageni wengi wa hali ya juu. Rais wa hotel hiyo anasema kwamba usalama wa wageni ni wa hali ya juu.
27F5C3EF00000578-3057193-image-a-56_1430126187457
Bidhaa mbalimbali zinauzwa kutokana na pambano hili
27F38F5300000578-3057193-image-a-59_1430126243110
Licha ya pambano kuwa linajulikana dunia nzima…branding ya pambano bado inaendelea
280D57DF00000578-3057193-image-a-1_1430137971649
Moja ya Casino za MGM Grand ambayo inategemewa kupokea watu wengi sana usiku huo
280D57EA00000578-3057193-image-a-64_1430126567731
HIki ni moja ya chumba ambacho kinaiuzwa kwa $1600 kwa usiku mmoja

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...