Pages

January 1, 2015

DKT. SHEIN AONGOZA SIKU YA KILELE CHA MAZOEZI KITAIFA,ZANZIBAR LEO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiongoza matembezi ya Siku ya Kilele cha Mazoezi ya Viungo Kitaifa akiwa na Viongozi wengine yaliyoanzia katika Uwanja wa Tumbaku hadi Uwanja wa Amaan Studium leo asubuhi ambapo yamejumuisha Vikundi mbali mbali vya Unguja na Pemba.
Miongoni mwa vikundi vilivyoshiriki katika matembezi ya Siku ya Kilele cha Mazoezi ya Viungo Kitaifa ni kikundi cha KVZ Fitness Group kikiwa katika hali ya ukakamavu na nidhamu ya juu wakipita katika barabara Kariakoo kuelekea Komba wapya ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein aliyaongoza matembezi hayo leo asubuhi.
Kundi la Mazoezi Zoni C wakiwa na bango lao linalosomeka "Siku ya Mazoezi Kitaifa 01Jan 2015 Mazoezi ni Tiba Mbadala",kama wanavyoonekanwa wakiwa katika matembezi ya Siku ya Kilele cha Mazoezi ya Viungo Kitaifa leo yaliyoongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akipunga mkono kama ishara ya kuyapokea matembezi ya Vijana wa Vikundi vya mazoezi katika kilele cha Siku ya Mazoezi ya Viungo Kitaifa katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja leo asubuhi (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa Zabesa Mohamed Suleiman Zidi.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Vikosi vya Ulinzi wakiwa katika jukwaa wakiangalia harakati za mazoezi yaliyofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Studium wakati wa Siku ya KIlele cha Mazoezi ya Viungo Kitaifa akiwa mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.
Vijana wa makundi mbali mbali wakiwa katika mazoezi ya jumla leo katika Kilele cha siku ya Mazoezi ya Viungo Kitaifa hafla iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Studium akiwa mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.
Vijana wa makundi mbali mbali wakiwa katika mazoezi ya jumla leo katika Kilele cha siku ya Mazoezi ya Viungo Kitaifa hafla iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Studium akiwa mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake katika Kilele cha Siku ya Mazoezi ya Viungo Kitaifa leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipokea Cheti cha Heshima kutoka kwa Mwenyekiti wa Chama cha Zabesa Mohamed Suleiman Zidi, katika Kilele cha Siku ya Mazoezi ya Viungo Kitaifa leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.
Waziri wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo Said Ali Mbarouk akimkabidhi kombe la Ushindi kwa Saidi Mchande wa Zoni A ambapo imekuwa ni washindi kwa mwaka huu katika siku ya Kilele cha Mazoezi ya Viungo Kitaifa sherehe zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Studium mbele ya Mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimakabidhi cheti Ahmed Ali Zoni A yenye maeneo ya Maisra-Ngazi mia katika siku ya Kilele cha Mazoezi ya Viungo Kitaifa katika hafla iliyofanyika leo uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimakabidhi cheti Zuhura Issa Khamis wa Zoni B Mwenge kwa ushiriki wao katika siku ya Kilele cha Mazoezi ya Viungo Kitaifa katika hafla iliyofanyika leo uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimakabidhi cheti Sande Kichumvi wa Kikundi cha mazoezi cha wakali kutoka Dar es Salaam kwa ushiriki wao katika siku ya Kilele cha Mazoezi ya Viungo Kitaifa katika hafla iliyofanyika leo uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.[Picha na Ikulu.]

No comments:

Post a Comment