Pages

January 4, 2015

DIAMOND AFUNIKA SHOW YA AMAHORO RWANDA

 Nguli wa Muziki wa Kizazi kipya kutoka Tanzania, Nassib Abdul 'Diamond' akitumbuiza katika show yake iliyofanyika katika uwanja wa Amahoro mjini Kigali Rwanda wakati wa shamrashamra za siku kuu ya mwaka mpya. Diamond alikuwa Rwanda kwa mwaliko wa East Afrika Promotors.
 Diamond akiwa jukwaani
 Mashabiki wa burudani waliofurika katika uwanja wa Amahoro kumnshuhjudia mkali huyo Afrika Mashariki.
 Mwanadada wa Kiganda, Zahara Hassan anaetoka na Diamond akifuatilia show hiyo
 Diamond akifanya yake jukwaani...
 Mwanamuziki wa kizazi kipya kutoka nchini Rwanda, Butera Knowless anayetamba na kibao cha 'TULIA' akitumbuiza katika show hiyo kali ya kufa mtu 
 Mashabiki wa Knowless wakishangilia huku wakiwa na picha zake.
Mashabiki wakiwa uwanjani hapo kushuhudia burudani hiyo. SOURCE: UMUSEKE

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...