Pages

November 24, 2014

WADAU WACHUKUA NONDO CHUO CHA UONGOZI ESAMI JIJINI ARUSHA

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Magesa Mulongo(wa pili kushoto) akiwa na wakufunzi wa Chuo cha Uongozi ESAMI jijini Arusha baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamili katika Uongozi  wa Biashara Jumamosi.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Magesa Mulongo(wa pili kushoto) ,Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini,Badra Masoud akiwa na wahitimu wengine katika  Chuo cha Uongozi ESAMI jijini Arusha baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamili katika Uongozi  wa Biashara Jumamosi.

Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini,Badra Masoud(kulia) na Afisa katika Ofisi ya Mawasiliano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC)Belinda Wella baada ya kutunukiwa Shahada  ya Uzamili katika Uongozi  wa Biashara Jumamosi.

Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini,Badra Masoud akiwa na wadau 


Badra Masoud akiwa na watoto wake waliofika kumpongeza

Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini,Badra Masoud akiwa na Mwanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Arusha,Irene Ongiri aliyefika kumpa tano 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...