Pages

November 23, 2014

MSICHANA AOKOTWA AKIWA TABANI KATIKA UCHOCHOLO WA BAR YA GALAX MJINI KAHAMA


Huyu ni msichana ambaye alikutwa katika uchocholo wa club za bar usiku kati ya galax majira ya asubuhi saa 12 akiwa hajitabuhi 
Baadhi ya wanachi wakijaribu kumungalia binti huyo akiwa ana fahamu  huku akiwa katika kichochoro huku nguo zake zikiwa zimechanwa na watu wasifamika mjini Kahama. 

Askari  polisi wa kituo cha polisi Kahama Thomas Munyongo akijaribu kumtabua msichana huyo  na bila mafanikio na kuomba msanda katika kituo cha polisi 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...