Wachezaji
wa timu za Boom FC na Vijana ya Ilala wakisalimiana kabla ya mchezo wao
wa hatua ya 16 Bora ya michuano ya Dk. Mwaka Sports Extra Ndondo Cup
2014 uliofanyika katika Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Benjamini Mkapa
jijini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana.
Kikosi
cha timu ya Vijana ya Ilala kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya
mchezo wao na Boom FC katika Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Benjamini
Mkapa jijini Dar es Salaam.
Kikosi cha timu ya Boom FC kikiwa katika picha ya pamoja.
Mashabiki wa timu ya Boom FC, wakipiga ngoma wakati timu yao ikicheza na Vijana ya Ilala.
Mshambuliaji
wa timu ya Vijana Ilala, Matola Selemani, kushoto akiwania mpira na
winga wa timu ya Boom FC, Nambongo Hussein katika mchezo wa Ligi ya Dk.
Mwaka Sports Extra Ndondo Cup.
Mshambuliaji wa timu ya Boom FC,Issac Tesha (katikati) akijaribu kufunga bao katika Ligi ya Dk. Mwaka Sports Extra Ndondo Cup
Winga
wa timu ya Boom FC, akiwatoka mabeki wa timu ya Vijana ya Ilala katika
mchezo wa Ligi ya Dk. Mwaka Sports Extra Ndondo Cup.
Beki
wa timu ya Vijana Ilala Ramadhani Yasini, (kushoto) akiwania mpira na
mshambuliaji wa timu ya Boom Ally Kondo, katika Ligi ya Dk. Mwaka Sports
Extra Ndondo Cup.
Baadhi ya wadau wa Soka wakifuatilia mechi kati ya Tabata FC na Sifa Politan kwenye Uwanja wa Bandari.
Kiungo
mshambuliaji wa timu ya Sifa Politan, Mathayo Edward (kulia) akitafuta
mbinu za kuwatoka mabeki wa timu ya Tabata FC, katika Ligi ya Dk. Mwaka
Sports Extra Ndondo Cup mechi iliyochezwa katika Uwanja wa Bandari Dar
es Salaam. Tabata ilishinda kwa Penati 4-3.
Mashabiki wa timu ya Tabata FC wakishangilia ushindi wa timu yao baada ya kuifunga Sifa Politan kwa mikwaju ya penalti 4-3.
Kipa wa Sifa Politan akiruka bila mafanikio kujaribu kuokoa penalti iliyopigwa na Kudura Shaban wa Tabata FC.
Heka Heka katika lango la timu ya BOOM FC.
Wadau wa Soka wakifuatilia pambano la Sifa Politan na Tabata FC kwenye Uwanja wa Bandari.
Mashabiki soka wakifuatilia pambano la Sifa Politan na Tabata FC kwenye Uwanja wa Bandari.
Mashabiki wa timu ya Tabata FC wakishangilia ushindi wa timu yao baada ya kuifunga Sifa Politan kwa mikwaju ya penalti 4-3.
Mashabiki wa timu ya Tabata FC wakishangilia ushindi wa timu yao baada ya kuifunga Sifa Politan kwa mikwaju ya penalti 4-3.
Wadau wa Soka wakifuatilia pambano la Sifa Politan na Tabata FC kwenye Uwanja wa Bandari.
Mashabiki soka wakifuatilia pambano la Sifa Politan na Tabata FC kwenye Uwanja wa Bandari.
Mashabiki wa timu ya Tabata FC wakishangilia ushindi wa timu yao baada ya kuifunga Sifa Politan kwa mikwaju ya penalti 4-3.
Mashabiki wa timu ya Tabata FC wakishangilia ushindi wa timu yao baada ya kuifunga Sifa Politan kwa mikwaju ya penalti 4-3.
No comments:
Post a Comment