Pages

August 31, 2014

SEMINA YA MASUALA YA KIJINSIA ILIFANYIKA MJINI DODOMA JANA

 

PIX 1Mwenyekiti wa Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG), Mhe. Anna Abdallah akifungua Semina iliyoandaliwa na Umoja huo kwa kushirikiana na Mtandao wa Wanawake na Katiba kwaajili ya Wajumbe wa Bunge Maalum kuhusu masuala ya Jinsia na Katiba iliyofanyika  kwenye Ukumbi wa Bunge wa Pius Msekwa Mjini Dodoma
PIX 6Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samia Suluhu Hassan (kulia) akifafanua juu ya masuala mbalimbali ya kijinsia wakati Semina iliyoandaliwa na Umoja huo kwa kushirikiana na Mtandao wa Wanawake na Katiba kwaajili ya Wajumbe wa Bunge Maalum kuhusu masuala ya Jinsia na Katiba iliyofanyika  kwenye Ukumbi wa Bunge wa Pius Msekwa Mjini Dodoma.
PIX 7Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Sophia Simba akichangia mada wakati Semina iliyoandaliwa na Umoja huo kwa kushirikiana na Mtandao wa Wanawake na Katiba kwaajili ya Wajumbe wa Bunge Maalum kuhusu masuala ya Jinsia na Katiba iliyofanyika  kwenye Ukumbi wa Bunge wa Pius Msekwa Mjini DodomaPIX 12Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakifuatilia Semina iliyoandaliwa na Umoja huo kwa kushirikiana na Mtandao wa Wanawake na Katiba kwaajili ya Wajumbe wa Bunge Maalum kuhusu masuala ya Jinsia na Katiba iliyofanyika  2014 kwenye Ukumbi wa Bunge wa Pius Msekwa Mjini DodomaPIX 19Wajumbe wakiiimba kwa pamoja wimbo wa kuhamasisha wanawake kupigania haki zao wakati wa Semina iliyoandaliwa na Umoja huo kwa kushirikiana na Mtandao wa Wanawake na Katiba kwaajili ya Wajumbe wa Bunge Maalum kuhusu masuala ya Jinsia na Katiba iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Bunge wa Pius Msekwa Mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...