Pages

July 18, 2014

KAMPUNI YA TAN COMMUNICATION MEDIA YAFUTURISHA JIJINI ARUSHA

IMG_3297
 Mkurugenzi wa Tan Communication Media  inayo miliki kituo cha  Radio 5 chenye makao yake makuu jijini Arusha  Bw Robert Francis wakati  akifuturisha,hafla iliyofanyika katika studio za redio hiyo zilizopo Njiro jijiniArusha iliyoudhuriwa na Viongozi wa dini na wadau wengine
IMG_3270
Sheikh Mkuu wa Bakwata mkoa wa Arusha,Shaaban Juma aliyekuwa mgeni rasmi katika halfa hiyo iliyoandaliwa na kampuni ya Tan Communication Media
IMG_3278
Mbunge wa Arusha Godbless Lema  wa pili kutoka  kushoto naye alihudhuria halfa hiyo
IMG_3267
Mkurugenzi wa Tan Communication Media  inayo miliki kituo cha  Radio 5 chenye makao yake makuu jijini Arusha  Bw Robert Francis  akiwa na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema
IMG_3319
David Lwekiza Rwenyagira ambaye pia ni mtangazaji wa kituo hicho ndiye aliyekuwa MC
IMG_3325
Mchekeshaji  kutoka nchini kenya Peter Sankale maarufu kama “Olexander Jospat”katika igizo la VIOJA MAHAKAMANI akitoa burudani baada ya Futari
IMG_3312 IMG_3328 IMG_3320 IMG_3310 IMG_3299

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...