Bryan
Umonyi wa Azam FC akifunga bao la pekee katika mchezo wao dhidi ya Ruvu
JKT katika uwanja wa Azam Complex, Chamazi, jijini Dar es salaam.
Bryan
Umonyi wa Azam FC akifurahia kufunga bao la pekee katika mchezo wao
dhidi ya Ruvu JKT katika uwanja wa Azam Complex, Chamazi, jijini Dar es
salaam.
Wachezaji wa Azama wakifurahia bao hilo
Furaha ya ushindi
Mashabiki
Rais wa TFF Jamal Malinzi akiwa na viongozi wa Azam FC jukwaa kuu
Rais
wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) akimkabidhi Kombe la ubingwa wa
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Nahodha wa Azam FC, John Bocco jioni
hii baada ya kuifunga bao 1-0 JKT Ruvu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi,
Dar es Salaam.Mabingwa wakisherehekea na taji lao, sherehe za ubingwa zimeendelea Azma Complex hadi usiku wa manane.
No comments:
Post a Comment