Pages

March 30, 2014

MAMIA WAJITOKEZA KUMZIKA RC MARA NYUMBANI KWAKE KILOSA

 Mjane wa marehemu Tupa Akiaga mwili wa mumewe  mara baada ya kumalizika ibada nyumbani kwao Kilosa.
 Waziri mkuu Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho kwa marehemu Tupa
 katibu mkuu wa UWT Amina Makilaki akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza la RC Tupa
 katibu wa CCM mkoa wa Morogoro Rojas Romul akiwa katika foleni ya kwenda kuaga mwili wa marehemu Tupa.
 Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu , Ana Tibaijuka na mkuu wa mkoa wa tabora fatuma Mwasa wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu Tupa.
 Mwenyekiti wa wazazi mkoa wa Morogoro Mecktridic Mdaku a na Juliana mwenda mjumbe wa kamati wa Siasa ya mkoa wa Morogoro wakitoa heshima za mwishi kwenye jeneza la mwili wa marehemu Tuapa.
 IGP msataafu Omary Mahita akitoa heshima za mwisho kwa marehemu Tupa
 Mkuu wa wilaya ya Tanga Halima Dendego akitoa heshima za mwisho
  Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Morogoro Fikiri Juma akitoa heshima za mwisho
 Viongozi wa CCM mkoa wa Morogoro  wakitoa heshima za mwisho
 Mke wa marehemu akisindikizwa kuaga mwili wa mume wake marehemu Tupa
 
Viongozi mbalimbali wa mkoa wa Morogoro na mikoa mingine waliohudhuria mazishi hayo wakifutilia ibada ya misa takatifu ya kumwombea marehemu Tupa.

 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...