
Wasanii mbali mbali na watangazaji walipata kualikwa ikulu jijini Dar, kwa ajili ya kuftari na Mh Raisi pamoja na familia yake.mara baada ya kuftari Mh Kikwete aliongea mawili matatu ikiwa ni pamoja na kuwapa moyo wasanii kwa kuendeleza sanaa maana hata yeye anapenda kusikiliza miziki yao

B12

Fetty



Jafarai na inspector Haroon
Qchief na Babu Tale



Mwasiti, Fetty na Shilole

Chege, Nyandu Tozi na Madee
Kassim Mganga

Adama Mchomvu

Ben Pol (wa pili kutoka kulia)

Linex (wa kwanza kulia)





Looking good MashAllah, TID, Jafarai na Z Anto

Mzee mkorofi, Suma Lee

hahahaa Mbwiga nae hakukosa

Shekh AY na Ali Kiba

Marlow na Sam Misago


Feruz na Fela

Lamar na P Funk







Hemedi Phd

Adama Juma

Dogo Asley


King Crazy GK


Shilole



Post a Comment