![]() |
| Wasimamizi wakihesabu kura |
![]() |
| Kura zikihesabiwa kwenye kituo cha Kaloleni |
![]() |
| Mbunge wa Arumeru Mashariki,Joshua Nassari akiwa na mgombea udiwani kupitia Chadema,Emmanuel Kessy,James Ole Millya na wanachama wengine wakisubiri matokeo |
![]() |
| Polisi wakiimarisha ulinzi Kaloleni |
![]() |
| Mbunge wa Arusha mjini,Godbless Lema akizungumza na wafuasi wa Chadema wakati wakisubiri matokeo Kata ya Elerai jioni hii |
![]() |
| Wafuasi wa Chadema wameanza kusherekea ushindi |









Post a Comment