![](https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2017/10/MRISHO-WEDING-1.jpg)
![](https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2017/10/MRISHO-WEDING-3.jpg)
![](https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2017/10/MRISHO-WEDING-4.jpg)
![](https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2017/10/MRISHO-WEDING-5.jpg)
![](https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2017/10/MRISHO-WEDING-6.jpg)
![](https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2017/10/MRISHO-WEDING-7.jpg)
Meneja
wa Global Publishers, Abdallah Mrisho, jana (Jumamosi, Sept. 30,2017)
alifunga ndoa ya kifahari na Catherine Mdamu, iliyolifanya Jiji la Dar
es Salaam lisimame kwa muda, ikifuatiwa na sherehe ya kukata na shoka
iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City.
Katika sherehe hiyo, wafanyakazi wa Kampuni
ya Global Publishers wakiongozwa na mkurugenzi wao, Eric Shigongo, jamaa
na marafiki, walijumuika kula, kunywa mpaka kusaza na kucheza muziki
mzuri, mpaka usiku sana huku kukiwa na 'special appearance' ya Mbunge wa
Mtama, Nape Nnauye.
Harusi ya Abdallah na Catherine, Mlimani City - Part 1
No comments:
Post a Comment