Pages

September 30, 2016

Waziri Mkuu MAJALIWA APOKEA MISAADA ZAIDI YA WAATHIRIKA WA TETEMEKO KAGERA

 Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akipokea mchango wa shilingi milioni 10 kutoka kwa Mstahiki Meya wa Dar es salaam Mhe. Isaya Mwita ukiwa ni mchango wa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera.Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Septemba 29, 2016. Kulia ni Waziri wa Viwanda, Biashara na UwekezajiCharles Mwijage.
 Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akipokea mchango wa shilingi milioni tano kutoka kwa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe. Shyrose Bhanji ukiwa ni mchango kwa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera.Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Septemba 29, 2016. Kulia ni Waziri wa Viwanda, Biashara na UwekezajiCharles Mwijage.
 Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akipokea mchango wa shilingi 18,681,000/= kutoka kwa Mkuu wa mkoa wa Iringa, Amina Masenza ukiwa ni mchango wa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera.Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Septemba 29, 2016. Kulia ni Waziri wa Viwanda, Biashara na UwekezajiCharles Mwijage.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea moja kati ya mabati 500 yenye thamani ya shilingi milioni 10 kutoka kwa Eric Shigongo Mkurugenzi Mtendaji wa  Global Publishers  (kushoto)  ukiwa ni mchango wa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera. Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisni kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Septemba 29, 2016. Kulia ni Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage.
 Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akipokea mchango wa shilingi milioni 20 kutoka kwa watendaji wa kampuni ya Trans Ocean Supplies Limited ukiwa ni mchango wa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera.Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Septemba 29, 2016. Kulia ni Waziri wa Viwanda, Biashara na UwekezajiCharles Mwijage.
 Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akipokea mchango wa shilingi milioni 20 kutoka kwa mtendaji wa kampuni ya Woolworths Tanzania ukiwa ni mchango wa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera.Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Septemba 29, 2016. Kulia ni Waziri wa Viwanda, Biashara na UwekezajiCharles Mwijage.
Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akipokea mchango wa shilingi milioni 50 kutoka kwa watendaji wa kampuni ya Pepsi ukiwa ni mchango wa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera.Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Septemba 29, 2016. Kulia ni Waziri wa Viwanda, Biashara na UwekezajiCharles Mwijage.
 Msaada wa viti vya walemavu
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea hundi ya sh. 415,800,000/= kutoka  Chama cha  Waagizaji wakubwa  wa mafuta nchini  (TAUMA ) ukiwa ni mchango wa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera. Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kupokea michango mbalimbali kwa ajili yawaathirika wa  tetemeko la ardhi mkoani Kagera, ofisini kwake jijini Dar es salaam
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kupokea michango mbalimbali kwa ajili yawaathirika wa  tetemeko la ardhi mkoani Kagera, ofisini kwake jijini Dar es salaam
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata picha ya kumbukumbu na wachangiaji  baada ya kupokea michango mbalimbali kwa ajili yawaathirika wa  tetemeko la ardhi mkoani Kagera, ofisini kwake jijini Dar es salaam
 Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akipokea mchango wa shilingi milioni 20 kutoka kwa watendaji wa kampuni ya Trans Ocean Supplies Limited ukiwa ni mchango wa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera.Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Septemba 29, 2016. Kulia ni Waziri wa Viwanda, Biashara na UwekezajiCharles Mwijage.
 Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akishukuru baada ya kupokea  mchango wa shilingi 18,681,000/= kutoka kwa Mkuu wa mkoa wa Iringa, Amina Masenza ukiwa ni mchango wa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera.Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Septemba 29, 2016. Kulia ni Waziri wa Viwanda, Biashara na UwekezajiCharles Mwijage.
 Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akipokea mchango wa shilingi milioni 50  kutoka kwa watendaji wa kampuni ya Pepsi  ukiwa ni mchango wa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera.Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Septemba 29, 2016. Kulia ni Waziri wa Viwanda, Biashara na UwekezajiCharles Mwijage.
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji   wa Kampuni ya Bia Tanzania, Roberto Jarrin (kushoto), Group Corporate Affairs Director wa TBL, Georgia Mutagahywa (wapili kulia) na Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi wa TBL, Fabian Mwakatuma baada ya kupokea hundi ya shilingi milioni 100 ukiwa ni mchango wa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera. Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...